Dec 15, 2021

KANUNI ZA KUFANIKIWA KUTOKA KATIKA UCHUMI MDOGO KWENDA UCHUMI MKUBWA

KANUNI ZA KUFANIKIWA KUTOKA KATIKA UCHUMI MDOGO KWENDA UCHUMI MKUBWA





Utangulizi:

• Tunaishi katika nyakati ambazo ili mtu aweze kuyamudu maisha vizuri, anahitaji kuwa na vyanzo kadhaa vya kimapato na sio chanzo kimoja.

 • Ujasiliamali ndio moja ya ndio kitu kitakachoweza kuleta suluhisho la kiuchumi na kuboresha maisha ya mtu. •

 Kuongeza kipato zaidi ya mshahara unao upata. KANUNI ZA KUFANIKIWA KIUCHUMI 1. Mafanikio ya kiuchumi/kibiashara hayaanzii kwenye kuwa na mtaji – bali maarifa ya biashara yenyewe.

• Kabla hujatafuta mtaji wa biashara unayotaka kuifanya, tafuta kwanza maarifa ya juu ya hiyo biashara unayotaka kuifanya.

• Mitaji ya watu wengi imeteketea kwasababu walianza kutafuta mtaji wa biashara kabla ya kutafuta maarifa juu ya biashara anayotaka kuifanya.

• Usichukue taarifa za mtaani ukaenda kukopa mtaji uanze biashara. Mtaji utapotea na utabaki kulipa deni la mtaji ambao haukufanikisha lengo – That is called a step back. 2. Mafanikio ya kiuchumi/biashara yanategemea kiwango cha usimamizi wa biashara au kitegeuchumi hicho.

• Ni nani unayemuweka kusimamia hiyo biashara. i. Usitafute watu na kuwapa usimamizi wa biashara kwa Misingi ya Undugu au Urafiki unless anao ujuzi na uwezo huo wa jukumu hilo. ii. Usitafute watu na kuwapa usimamizi wa biashara kwa Misingi ya Ukabila. iii. Usitafute watu na kuwapa kazi au majukumu kwa Misingi ya Kumuhurumia Mtu.

 

Kwao wazazi wake wote wamekufa kwahiyo ngoja tu tumpe hii kazi hata kama hajasomea.

Huyu ni mjane anamzigo mkubwa wa watoto nyuma yake ngoja tu ajibanze hapa asogeze siku.

  Huyu alizalishwaga sana na wanaume wote wakamkimbia sasa ngoja tu tumpachike hapa naye yeye apate pate chochote cha kumsaidia. 3. Mafanikio ya kiuchumi/biashara yanahitaji Nidhamu ya Fedha na Matumizi. Note: Kinachofanya watu wengi washindwe kufikia ndoto za mafanikio ya uchumi na maisha yao ni tatizo la matumizi mabaya ya fedha yasiyo na nidhamu

. • Jifunze kuweka akiba

  Fungua akaunti hata kama kipato chako ni kidogo.

  Usisubiri mpaka utakapokuwa tajiri ndio utaanza kuweka akiba.

Usisubiri mpaka utakapokuwa umepata vingi ndipo uanze kuweka akiba.

 • Watu waliofanikiwa sana katika maisha ni wale waliojitahidi kujinyima na kujijengea mazoea ya kuweka akiba kidogo kidogo. (Accumulation)

 • Ukipata pesa wekeza kwanza kisha kula kinachobaki. Tofauti ya Masikini na Tajiri

  Masikini akipata pesa anakula kwanza kisha anawekeza kama itakuwa imebakia.

Tajiri akipata pesa anawekeza kwanza kisha anakula inayobaki.

• Epuka kukopa kwa shughuli isiyo ya maendeleo.

Jiepushe na kukopa kopa vitu kutoka kwa wafanyabiashara na wajasiriamali wanaokopesha vitu mbali mbali ambavyo sio vya muhimu. Usikope kwajili ya harusi – tafuta michango na ukipata kidogo fanya harusi ndogo kulingana na kipato chako usitake mambo makuu yatakuumiza.

Usikope kwajili ya sherehe kama birthday, graduation nk.

Ukikopa iwe ni kitu cha kimaendeleo.

• Jifunze kuweka vipaumbele juu ya mahitaji muhimu utakayo fanya kwa pesa iliyopo mkononi mwako.

Usijaribu kutaka kutekeleza kila hitaji.

Mahitaji ni mengi hutaweza kuyamaliza.

Michango ni mingi hutaweza kumchangia kila mtu.

Madeni ni mengi hutaweza kuyalipa yote kwa mara moja.

Sio kila unacho kitaka ni lazima ukipate.

There is difference bebween what you want and what you need. • Usikope vitu ambavyo vitakuwa vinakunyonya Zaidi badala ya kukuingizia kipato.

Mfano unakopa gari la kutembelea tu ambalo sio la lazima na halikuingizii kitu na huna uwezo wa kulihudumia.

  Usikope gari huku huna uhakika wa mafuta au kulihudumia.

  Mahitaji ya gari ni kama mahitaji ya mwanadamu tu:

Gari linahitaji kula na kunywa.

Gari linahitaji kuoga.

Gari linahitaji kwenda hospitali mara kwa mara.

Gari linahitaji kulipiwa kodi na ushuru wa mara kwa mara. Kama unakipato kidogo na hujafanya mambo mengine ya kipaumbele, usitangulize kukopa gari kwanza na hasa gari ambayo sio ya kukuongezea kipato.

 • Usipende kukaa na fedha mfukoni, nyumbani au kwenye simu zako. Jitahidi uwe na akaunti yako na kila mara tupia huko chochote kinachoingia. Mkononi ibaki pesa kidogo tu ya matumizi madogo madogo.

  Usipende kutembea na ATM card yako kila unapokwenda.

• Usimpe pesa Rafiki yakow ala ndugu yako hata kama ni mzazi wako au kaka au dada akuwekee ili siku ukiwa unazihitaji akupe. Pesa zako zitunze mwenyewe. Fungua akauti yako fungia pesa zako huko.

Mtaharibu Urafiki wenu,

Mtaharibu undugu wenu. 4. Dhibiti vyanzo vyako vya msongo wa mawazo

 • Msongo wa mawazo unamchango mkubwa sana katika kuudhohofisha uchumi wa mtu

. • Msongo wa mawazo unapunguza uwezo wa mtu kufikiri kwa kina.

 • Msongo wa mawazo unapunguza uwezo wa mtu wa ubunifu.

• Msongo wa mawazo unapunguza uwezo wa mtu katika kufanya maamuzi. How:

• Ishi kwa kiwango chako

Social involvement

• Let your feelings out – Kucheka au Kulia.

• Kula chakula kizuri pale inapowezekana.

• Lala mahari Pazuri – Mahali unapolala pana uhusiano mkubwa sana na kiwango cha Stres.

 • Pata rafiki mzuri unayemwamini wa kumshirikisha mambo yako na hasa yale yanayo kuumiza usibaki nayo moyoni. 

FAIDA 6 ZA KUWA NA WEBSITE KWA AJILI YA BIASHARA

 

Je umekua ukisikia tuu swala la kuwa na website lakini hujaelewa kwanini haswa uwe na website kwa ajili ya biashara au asasi yako isiyo ya kiserikali (NGO)? Au unayo website lakini haujaona bado faida za kuwa na website ? Basi makala hii itakupasha  faida haswa ya kuwa na website kwa namna ambayo pengine hujawahi kufikiria.



Hakuna wakati ambao website ni ya muhimu kama wakati ambapo tupo katika zama za utandawazi. Yawezekana ukajiona kuwa unachofanya ni kidogo hivyo hauhitaji website , hata hivyo kuna mengi utakua unakosa kwa kutokujikita katika kuwa na website kwa biashara au asasi yako.

 

Kukipa thamani ufanyacho

Imekua kawaida watu wengi kuamini kuwa biashara au asasi yenye website basi itakua makini . Hata hivyo sio tuu website ili mradi website. Unatakiwa uwe na website ambayo kweli inaonyesha umakini na ubora wa asasi au biashara yako hii inajumuisha website yenye muonekano mzuri, yenye maelezo yaliyokamilika, yenye taarifa ambazo kweli.

 

Kuleta ushawishi

Unahitaji website ili kuweza kujenga uaminifu na kuonekana kweli upo serious. Website yako itakupa nafasi ya kuwaeleza watu kwa umakini na kwa ushawishi kile unachofanya  na kwanini wakutafute wewe. Tena website itakusaidia kufanya ushawishi huu kwa watu wengi sana kuliko kuwa tuu na vipeperushi ambavyo utasambaza kwa watu wachache.

 

Kuelezea Ufanyacho

Website hukufanya uwe na nafasi ya kueleza mambo uyafanyacho kwa watu wengi zaidi. Ni kweli unaweza kuwa na akaunti nyingi za mitandao ya kijamii . Lakini watu wengi hawatopata kukufahamu vizuri kama sio kupitia kwa website yako ambapo utakua na kurasa zilizopangiliwa vema kabisa.

 

Kupatikana wakati masaa 24 siku 7 za wiki

Ofisi yako hufungwa , duka lako hufungwa, lakini website yaweza kupatikana masaa 24 siku 7 za wiki. Hivyo kuwa na website ni fursa kwako kuwafaikia walengwa wako masaa yote kila siku.

 

Kuwasiliana na kuwaelimisha wateja

Kwa kutumia blog itakayoambatana na website yako utaweza kuwapatia wateja wako na wale wateja watarajiwa Makala ambazo zitawaelimisha na kuwavuta karibu na wewe. Pia ni nafasi yako ya kuwapa updates kuhusu bidhaa mpya unazotaka kutoa au mabadiliko mengine ya kiutendaji , kimarketing na sera za biashara au asasi yako.

 

Kuwa na email address binafsi

Website itakufanya uweze kuwa na email address inayotaja jina la biashara yako. Haipendezi na haionekani kuwa “professional” pale unapohitajika kutaja email address yako halafu ukatumia email yenye domain ya makampuni makubwa kama gmail, yahoo au Hotmail. Kama kampuni yako ni ABC Limited, basi ni vema ukasema jinalako@abc.com au  jinalako@abc.co.tz

 

Kwa wewe unayetaka kuwa na website inayokunufaisha tuwasiliane kwa WhatsApp 0745507517tukusaidie. Au comment  kwa hii post.

Nguvu ya Biashara ya Mtandao katika Kipato

 

Biashara ya Mtandao na Nguvu zake Katika Kukuza Kipato

Kama tulivyoona katika utangulizi hapo juu,biashara ya mtandao inahusisha usambazaji wa bidhaa au huduma ili kuwafikia watumiaji toka mtu mmoja kwenda kwa mwingine.



Kwa kiasi kikubwa hii hufanyika kwa njia ya mdomo toka kwa mtu ambaye anatumia bidhaa au huduma kwenda kwa mwingine. Uaminifu na mahusioano mazuri ndio msingi wa biashara ya mtandao.

Nguvu ya Biashara ya Mtandao katika Kipato

Biashara ya mtandao inatoa nafasi kubwa katika kuanza na kukuza biashara yenye kukupa faida katika muda mfupi sana.

Zifuatazo ni baadhi ya faida kubwa za biashara ya mtandao:

Unaweza kuanza na Mtaji Mdogo: Biashara ya mtandao ndio biashara pekee unayoweza kuanza kwa mtaji mdogo sana na yenye uwezo wa kukupa faida kubwa katika muda mfupi. Makampuni mengine unaweza ukaanza hata kwa Tsh 100,000 tu na mengine yana viwango vya juu zaidi.

Uwezo wa kupata Faida Katika Muda Mfupi: Unaweza ukapata faida katika mwezi mmoja tu kulingana na mfumo ambao kampuni inautumia na juhudi unazoweka katika kujenga timu chini yako.  Shida ya wengi katika biashara hii hasa katika nchi za afrika ni kuwa hatuichukulii kama biashara na hivyo kuipa umuhimu mdogo sana. Tunafanya kazi kwa muda mfupi sana, wengine hawaweki hata saa moja katika wiki nzima kitu ambacho kinasababisha kupata matokeo hasi.

Muda Mfupi wa Kazi: Katika biashara hii huhtaji kufanya kazi masaa 8 kama katika ajira. Masaa 2-4 kwa siku yanaweza kukupa matokeo mazuri sana hivyo kutumia muda uliobaki katika siku kufanya mambo mengine ikiwemo kukaa na familia yako au kusafiri.

Kutumia Nguvu ya Watu: Mafanikio katika biashara ya mtandao yanakuja kwa kujenga timu ya watu wanaotumia bidhaa za kampuni husika. Na kufundisha ,na kuhimiza kila mmoja katika timu yako kufanya hivyo hivyo kama unavyofanya wewe. Hii inakufanya usitumie nguvu nyingi sana kupata kipato kama katika kazi nyingine za kujiajiri ambapo mara nyingi inategemea uwepo na nguvu za mtu mmoja.

Uwezo wa Kupata Fedha Nyingi: Biashara hii inauwezo wa kukupa kipato kikubwa katika muda mfupi. Katika muda wa miaka 3-5 uanweza ukapata fedha nyingi sana ambazo huwezi kuzipata katika kazi ya kuajiriwa au hata ajira binafsi na biashara ndogo yoyote. Inakupa uwezo wa kupata hata Tsh Bilioni 1 katika muda wa mwaka mmoja kulingana na kampuni na mfumo unaotumika ka kampuni husika.  [Soma namna ya kutengeneza Tsh Bilioni 1.6 kupitia Biashara ya Mtandao Katika Mwaka 1]

Kwa hiyo kama mtu anataka kukua kiuchumi haraka,biashara ya mtandao ni sehemu muafaka kufikia malengo yake kwa haraka na kuondokana na umasikini.

Lakini ni muhimu kutambua kwamba biashara ya mtandao sio njia ya kuwa tajiri kwa haraka bila ya kufanya kazi. kazi inahitajika hasa katika mwaka wa kwanza unapojenga biashara.

Nguvu ya Biashara ya Mtandao na Intaneti Katika Kukuza Masoko

Tumeona kuwa vyote intaneti na biashara ya mtandao vyote vina nguvu kubwa kwa namna tofauti.

Nguvu ya intaneti ipo katika kusambaza habari kwa haraka na urahisi bila kujali mopaka ya kijiografia na nguvu ya biashara ya mtandao ipo katika kuwezesha kusambaza bidhaa toka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa gharama ndogo na kwa ufanisi mkubwa.

Ukijumuisha vitu hivi viwili yaani intaneti na biashara yamtandao utapata matokeo makubwa sana katika mauzo ya bidhaa za kampuni husika.

Unapotumia intanneti kuweza kuwafikia watu wengi juu ya biashara unayofanya unapata wateja wengi au watu wengi watakaoona fursa yako na katika hao wengi pia baadhi yao watajiunga na kununua bidhaa toka katika kampuni yako.

 Hapa intaneti  inamwezesha mwanamtandao kuweza kuwafikia watu wengi wengi ambao anaweza kuanzisha mahusioano nao na hatimaye wakfanya biashara. Mfano mtu anaweza akakutana na mtu mwingine katika mtandao wa kijamii kama facebook au twitter kisha wakajenga mahusiano na baadae wakafanya biashara.

Ukiangalia  hapa hakuna mipaka kwa mtu mmoja ambaye yupo katika biashara ya mtandao katika kuwafikia watu. Hii ndio nguvu ya kufanya boahsra ya mtandao katka intaneti.

Namna za kuwafikia Watu Kupitia Intaneti:

Mitandao ya Kijamii: Matumizi ya facebook,twitter,instagram,pinterest etc  kukutana na kujemga uhusiano nao ambao baadae wanaweza wakawa wateja katika kampuni yako ya mtandao.

Blogu na Tovuti: Tovuti na blogu inawezesha taarifa kuwafikia watu duniani kote. Blogu ni bora zaidi katika kufikisha taarifa nahupendwa sana na watu kutokana na habari zake kubadirika mara kwa mara

Barua Pepe: Ukiwa na anuani nyingi za barua pepe unaweza ukatuma matangazo ya fursa ya biashara yako na kuwafikia watu wengi kwa mara moja. Baadhi yao kati ya hawa watapenda na kujiunga na fursa yako.

Mikutano ya Mbali: Badala ya kukutana na watu ana kwa ana katika mikutano sasa hivi unaweza kufanya mikutano kupitia mtandao wa intaneti hivyo kuondo kiwazo cha wapi mtu au watu walengwa wapo.

Kupitia njia zilizotajwa mwanamtandao anaweza kupata wateja wengi kupitia intaneti.

Kampuni Inayouza Bidhaa Kupitia Mtandao kwa 100% Na namna ya Kujiunga

Makampuni mengi ya biashara ya mtandao yanajitahidi kutumia intaneti, mfano kwa kuelimisha watu na hata kuonesha na kuuza bidhaa zao.

Kampuni ya QNET ni mojawapo ya makampuni machache yanayotumia intaneti kwa 100%. Kampuni hii inaonesha bidhaa na kuziuza mtandaoni hivyo kuwezesha wanachama wake kumilki duka la bidhaa na kuzitangaza duniani kote kupitia tovuti ya kampuni.

Kama unataka kutumia nguvu ya biashara ya mtandao na intaneti basi pata taarifa zaidi kuhusu kampuni hii na ujiunge. Pata taarifa zaidi kuhusu QNET na jinsi ya kujiunga.

[Kwa maswali kuhusu fursa ya QNET wasiliana nami kupitia Whatsapp: 0745507517 au SMS/Piga 0745507507 nitakueleza namna ya kufanikiwa katika Biashara ya Mtandao na Intaneti]

Hitimisho:

Mafanikio makubwa katika biashara leo yanaweza kupatikana kama utatumia intaneti. Biashara ya mtandao hali kadharika ni mojawapo ya biashara ambayo kupitia intaneti inakupa nafasi ya kupata watu wengi watakaonunua bidhaa toka katika kampuni yako inayotumia biashara ya mtandao.

Kama wewe upo katika kampuni ya biashara ya mtandao basi anza leo kujenga biashara yako kupitia intaneti ili uweze kufaidika ma nguvu ya intaneti katika kukuza biashara na kipato chako.

Kama umeipenda makala hii juu basi washirikishe na wengine ili wafahamu juu ya Nguvu ya Biashara ya Mtandao na Intaneti kuweza kujipatia kipato. Kama una mawazo ,hoja au maswali basi tuandikie hapa chini.

Biashara njema na tukutane katika makala nyingine.

FREE TRAINING : Jifunze Social Media Marketing na Jinsi ya Kupata Wateja Zaidi Online (3 days)

Kama wewe ni mfanyabiashara, na biashara yako imekua sana,unapata wateja wa kutosha online, unafahamu jinsi ya kufanya matangazo yanayorudisha faida , basi hii sio kwa ajili yako


Lakini kama unatamani kufikia hatua hiyo, basi nipende kukukaribisha ktk Free online Training nitakayoitoa kuanzia Leo (saa moja jioni, whatsapp)

Ktk siku 3, utaenda kujifunza kwa undani kitu kinachoitwa social media marketing and advertising.

Kama umekuwa ukihangaika kujiuliza

Biashara yako unaiweka vipi online?

Unapataje wateja wa online (ambao sio mchezo kuwapata)?, ...

Unajiuliza utafanyaje matangazo ya sponsored (unaskia story tu,wenzio wanavopigiwa simu na wateja kibao)...

Unaskia tu social media marketing, digital marketing, na unaamini zina impact ktk biashara yako.. Lakini hujui uanzie wapi kujifunza,.. Ufanye nini uache nini

Basi niskilize, usihangaike tena kwani lengo la training hii ni kutatua matatizo hayo, ndani ya siku 3 tu

Hii hapa sasa ratiba ya training,

=>Timetable for 3 Days Free Training on Social Media Marketing and Advertising

1)SIKU YA KWANZA

- Introduction to Digital marketing and Social media marketing

- 5 reasons why social media marketing knowledge is important for your business

- Benefits of social media marketing to your business

- Winners mindset (how to approach social media for business)

2)SIKU YA PILI

- Types of contents you should post in your Account

- Business Account Settings, Optimization and Branding

- Winner's Mindset (best practices)

3)SIKU YA TATU

- Why you should use ads for your business

- Types of ads you can use to get customers easily

- Facebook Ads Policy

- How to run successful ads for your business

- Winner's mindset

In just 3 days, utaweza kufahamu namna rahisi ya kuanza au kuboresha effort zako za marketing mtandaoni..matangazo yako pia.

Usipitwe na fursa hii, Njoo ujifunze sasa..

Ngoja nikuibie Siri, Kuna opportunity ya HOLIDAY SEASON inanukia,..advertise your business well and win more customers

Tuma text "Add Me" Kwa whatsapp 0745507517 ili nikuadd kwny group

--------------------------------------------------------

- Social Media Marketing | Facebook Ads